VIWAKILISHI
VIWAKILISHI Viwakilishi ni maneno yanayotumika badala ya nomino(vibadala vya nomino). Nomino husika huwa haitajwi katika sentensi. Kwa mfano, yule ni mtunzi mbuji wa mashairi. AINA ZA VIWAKILISHI 1.VIWAKILISHI NAFSI: Hivi ni… Read more »