
MAWAIDHA YA BABU
MWANA Shikamoo wangu babu Kukusalimu wajibu ‘Metuamuru wahabu Heshima kuwapatia BABU Marahaba ya kijana Habari za tangu jana ‘mefurahi kukuona Kwako mi najivunia MWANA Za tangu Jana ni njema Nami… Read more »
MWANA Shikamoo wangu babu Kukusalimu wajibu ‘Metuamuru wahabu Heshima kuwapatia BABU Marahaba ya kijana Habari za tangu jana ‘mefurahi kukuona Kwako mi najivunia MWANA Za tangu Jana ni njema Nami… Read more »
Bisimilahi raufu Mola ulo mtukufu Waja wako madhaifu kwako tunakimbilia Muumba mbingu na ardhi Twakuomba yako radhi Tumeacha ya faradhi Haramuni twajitia Ya rabbi twarudi kwako Hatujui tuendako Na… Read more »
Naanza yangu nudhuma Kwa adabu na heshima Kumueleza yatima Hana wa kumtizama Sio kosa la yatima Majanga kumuandama Ni mipango ya karima Waja wake kutupima Hufurahika yatima Akionewa huruma Hupata… Read more »