
MKE WA HERI
Heri alishindwa kabisa kuyatoa mawazo yake kwa binti yule. Binti mpole, mstaarabu na mkarimu. Binti ambaye kwamba pengine neno kununa halikupatikani katika kamusi yake ya maisha. Kila wakati alionekana akitabasamu… Read more »
Heri alishindwa kabisa kuyatoa mawazo yake kwa binti yule. Binti mpole, mstaarabu na mkarimu. Binti ambaye kwamba pengine neno kununa halikupatikani katika kamusi yake ya maisha. Kila wakati alionekana akitabasamu… Read more »
RUIYA Mume wangu sikiliza, nisemayo usikie Nakupa yenye mwangaza, yatakuja yakufae Wewe ni mwenye uweza, naomba ufikirie Rafiki yangu Aziza, ningependa umuoe Sana ninapendekeza, hili ulizingatie Ukae ukiliwaza, moyoni likuingie… Read more »
Kaka Naanza wangu usemi, Hoja yangu kutetea Naikunja yangu ngumi, Uzito kuongezea Ya kwanza hadi ya kumi, Nyote zitawaelea Waja kuoa mapema, Kubwa sunna ya Amini Dada Basi anza taratibu,… Read more »
‘Likuja mume tajiri, tena mweupe pepepe Mama kaona fahari, akanioza peupe Hakuchunguzwa vizuri, kumbe mume ni mapepe Mengine yote bonasi, mume dini na tabia Hata awe na majumba, na pesa… Read more »
Kutunga hapa naanza, hisia zangu kutema Nimeketi na kuwaza, nikakereka mtima Ni Jambo lanishangaza, wanalolitenda umma Mbona tufanye kabila, liwe kikwazo cha ndoa? Aliyeanzisha nani, fikira hini potofu Eti… Read more »