
PEPO! MASKANI YA DAIMA
Kalamu niishishie, natunga toka moyoni Dua zetu tukidhie, twakuomba ya manani Motoni usitutie, adhabu hatuwezani Ewe mola tujalie, pepo iwe masikani Tujaalie ni wema, tutende mambo ya kheri Tutende bila… Read more »
Kalamu niishishie, natunga toka moyoni Dua zetu tukidhie, twakuomba ya manani Motoni usitutie, adhabu hatuwezani Ewe mola tujalie, pepo iwe masikani Tujaalie ni wema, tutende mambo ya kheri Tutende bila… Read more »
Sura umeikunja! Meno umeyakaza! Unabamiza milango na kurusha rusha vitu huku na kule! Mori umekupanda tayari kummeza mzima mzima yeyote atakayepita mbele yako. Kisa na sababu? Mama yako amekuita. Pengine… Read more »
Nashika yangu kalamu Kutunga yangu nudhumu kusema yalo muhimu Ndugu zangu nisikia Ni kuhusu almasi Isiyo na wasiwasi Tulioletewa sisi Na mtume hashimia Ni kitabu qurani Kitabu chenye thamani Kisicho… Read more »
Ulimwengu umesheheni watu wenye hulka tofauti tofauti.wapo wacheshi,wachangamfu,wapole,wanyamavu na wengineo wengi ila miongoni mwa wacheshi ulimwenguni naweza sema Nuayman ibn amr Katia fora. Nuayman alikuwa swahaba aliyetokana na watu wa… Read more »