
ELIMU
Elimu urithi aali, mwanao kumuachia Elimu ni kubwa mali, na tena ya kubakia Elimu bidhaa ghali, katika hii dunia Elimu wape wanao, tena bila ya kusita Elimu akiba yao, katu… Read more »
Elimu urithi aali, mwanao kumuachia Elimu ni kubwa mali, na tena ya kubakia Elimu bidhaa ghali, katika hii dunia Elimu wape wanao, tena bila ya kusita Elimu akiba yao, katu… Read more »
Ninaanza kulitunga, shairi langu jamani Ni mambo yamenisonga, na kunikaba kooni Hakika mutaniunga, ‘kiyasoma kwa makini Bila shaka ni kinaya, damu kugeuka maji Imegeuka dunia, imani zimetoweka Ndugu walo halisia,… Read more »
‘Likuja mume tajiri, tena mweupe pepepe Mama kaona fahari, akanioza peupe Hakuchunguzwa vizuri, kumbe mume ni mapepe Mengine yote bonasi, mume dini na tabia Hata awe na majumba, na pesa… Read more »
Bisimilahi raufu Mola ulo mtukufu Waja wako madhaifu kwako tunakimbilia Muumba mbingu na ardhi Twakuomba yako radhi Tumeacha ya faradhi Haramuni twajitia Ya rabbi twarudi kwako Hatujui tuendako Na… Read more »
Naanza yangu nudhuma Kwa adabu na heshima Kumueleza yatima Hana wa kumtizama Sio kosa la yatima Majanga kumuandama Ni mipango ya karima Waja wake kutupima Hufurahika yatima Akionewa huruma Hupata… Read more »