
MWANAMKE ASO BADALI_MAMA
Sura umeikunja! Meno umeyakaza! Unabamiza milango na kurusha rusha vitu huku na kule! Mori umekupanda tayari kummeza mzima mzima yeyote atakayepita mbele yako. Kisa na sababu? Mama yako amekuita. Pengine… Read more »
Sura umeikunja! Meno umeyakaza! Unabamiza milango na kurusha rusha vitu huku na kule! Mori umekupanda tayari kummeza mzima mzima yeyote atakayepita mbele yako. Kisa na sababu? Mama yako amekuita. Pengine… Read more »
Naanza langu shairi,kwa mapozi na madaha Nataka kuikariri, niliyonayo furaha Nimepewa na qahari,nakwambia si mzaha Furaha yenyewe gani? Ni kipenzi wangu mama. Baada mola karima,na mtume hashimia Wa kufuata… Read more »