
JANGA LA KORONA
Mie nimerudi tena, tungo kuwaleteeni Ni tungo ilo bayana, kwa makini sikizeni Ila naumia sana, na kunitanda huzuni Hili janga la korona, ‘metutia maswalini Ewe Mola Subuhana, twakuomba tuauni Limepenya… Read more »
Mie nimerudi tena, tungo kuwaleteeni Ni tungo ilo bayana, kwa makini sikizeni Ila naumia sana, na kunitanda huzuni Hili janga la korona, ‘metutia maswalini Ewe Mola Subuhana, twakuomba tuauni Limepenya… Read more »