VITENZI
VITENZI Vitenzi ni maneno yanayoarifu kuhusu jambo linalotendwa au kutendewa nomino. Vitenzi huwa na mzizi ambao kwamba ndio unaosimamia tendo lenyewe na mzizi huo huambatanishwa na viambishi ili kuleta maana… Read more »
VITENZI Vitenzi ni maneno yanayoarifu kuhusu jambo linalotendwa au kutendewa nomino. Vitenzi huwa na mzizi ambao kwamba ndio unaosimamia tendo lenyewe na mzizi huo huambatanishwa na viambishi ili kuleta maana… Read more »
VIHUSISHI Vihusishi ni maneno ambayo kwa kawaida hutumiwa pamoja na nomino au kiwakilishi. Kazi ya vihusishi katika lugha ya kiswahili hufanywa na vikundi husishi. Vihusishi vinavyotumiwa zaidi ni kwa na na. KWA… Read more »
VIHISISHI Haya ni maneno ya mshangao au ya kutoa hisia za ndani za mhusika. Vihishi huishia kwa alama (!) AINA ZA VIHISISHI Vya huzuni: kwa mfano, salale! Vya furaha/pongezi: kwa mfano, hongera!, Hoyee! Vya… Read more »
VIUNGANISHI Viunganishi ni maneno yanayotumiwa kuunganisha vipashio mbali mbali vya lugha. Kwa kawaida, huunganisha vipashio vifuatavyo: Neno na neno Kirai na kirai Kishazi na kishazi Sentensi na sentensi AINA ZA… Read more »
VIELEZI Vielezi ni maneno yanayotumika kufafanua kitenzi, kivumishi au kielezi kingine. Au pia, ni maneno yanayosifu au kufasili sura za vitenzi, vivumishi au vielezi vingine. Vielezi vinapotumika kufafanua vitenzi Mtoto… Read more »