ASHIKI WA KISWAHILI

  • Dini
  • Lugha
  • Ushairi
  • Mapishi
  • Makala
  • Hadithi
ASHIKI WA KISWAHILI
Skip to content
  • Dini
  • Lugha
  • Ushairi
  • Mapishi
  • Makala
  • Hadithi

VITENZI

VITENZI  Vitenzi ni maneno yanayoarifu kuhusu jambo linalotendwa au kutendewa nomino. Vitenzi huwa na mzizi ambao kwamba ndio unaosimamia tendo lenyewe na mzizi huo huambatanishwa na viambishi ili kuleta maana… Read more »

Lugha    Aina za maneno, aina za vitenzi, Vitenzi

VIHUSISHI

VIHUSISHI Vihusishi ni maneno ambayo kwa kawaida hutumiwa pamoja na nomino au kiwakilishi. Kazi ya vihusishi katika lugha ya kiswahili hufanywa na vikundi husishi. Vihusishi vinavyotumiwa zaidi ni kwa na na. KWA… Read more »

Lugha    Aina za maneno, lugha ya kiswahili, Vihusishi

VIHISISHI

VIHISISHI Haya ni maneno ya mshangao au ya kutoa hisia za ndani za mhusika. Vihishi huishia kwa alama (!) AINA ZA VIHISISHI  Vya huzuni: kwa mfano, salale! Vya furaha/pongezi: kwa mfano, hongera!, Hoyee! Vya… Read more »

Lugha    Aina za maneno, mifano ya vihishi, Vihishi

VIUNGANISHI

VIUNGANISHI Viunganishi ni maneno yanayotumiwa kuunganisha vipashio mbali mbali vya lugha. Kwa kawaida,  huunganisha vipashio vifuatavyo: Neno na neno Kirai na kirai Kishazi na kishazi Sentensi na sentensi AINA ZA… Read more »

Lugha    #kiswahili, Aina za maneno, aina za Viunganishi, lugha, Viunganishi

VIELEZI

VIELEZI Vielezi ni maneno yanayotumika kufafanua kitenzi, kivumishi au kielezi kingine. Au pia, ni maneno yanayosifu au kufasili sura za vitenzi, vivumishi au vielezi vingine. Vielezi vinapotumika kufafanua vitenzi  Mtoto… Read more »

Lugha    Aina za maneno, aina za vielezi, maana ya kielezi, vielezi

Posts navigation

« Previous 1 2 3 4 5 … 25 Next »

Ili kujinunulia pilipili hizi yenye utamu wa kipekee tupigie simu kwa ambari +254704432540

MTANDAO WA KIJAMII

MTANDAO WA KIJAMII
Copyright 2019
Footer text center
Ribosome by GalussoThemes.com
Powered by WordPress