
JANGA LA KORONA
Mie nimerudi tena, tungo kuwaleteeni Ni tungo ilo bayana, kwa makini sikizeni Ila naumia sana, na kunitanda huzuni Hili janga la korona, ‘metutia maswalini Ewe Mola Subuhana, twakuomba tuauni Limepenya… Read more »
Mie nimerudi tena, tungo kuwaleteeni Ni tungo ilo bayana, kwa makini sikizeni Ila naumia sana, na kunitanda huzuni Hili janga la korona, ‘metutia maswalini Ewe Mola Subuhana, twakuomba tuauni Limepenya… Read more »
Keki ya chocolate ni keki inayopendwa sana. Wengine wananunua au kuweka oda jambo ambalo kwamba ni la gharama kuliko kuoka mwenyewe nyumbani. Wengine wanawazawadi wendani wao keki walizonunua, jambo ambalo… Read more »
Heri alishindwa kabisa kuyatoa mawazo yake kwa binti yule. Binti mpole, mstaarabu na mkarimu. Binti ambaye kwamba pengine neno kununa halikupatikani katika kamusi yake ya maisha. Kila wakati alionekana akitabasamu… Read more »
Ameamka mapema, ‘mekatiza usingizi Tayari nazi kukama, na kuzibandika mbazi Hata kama ana homa, yabidi kufanya kazi Ni juhudi zake mama, ili mwana ubarizi Kabla kujiharibia, tumfikirie mama! Moto unajiwakia,… Read more »
VIWAKILISHI Viwakilishi ni maneno yanayotumika badala ya nomino(vibadala vya nomino). Nomino husika huwa haitajwi katika sentensi. Kwa mfano, yule ni mtunzi mbuji wa mashairi. AINA ZA VIWAKILISHI 1.VIWAKILISHI NAFSI: Hivi ni… Read more »