
JINSI YA KUPIKA MZINGA WA NYUKI
Mzinga wa nyuki ni mkate wenye asili ya kiarabu. Mkate huu umepewa jina la mzinga wa nyuki kutokana na mfanano wake baada ya kupikwa. Ni mkate unaopikwa mfano wa skonzi… Read more »
Mzinga wa nyuki ni mkate wenye asili ya kiarabu. Mkate huu umepewa jina la mzinga wa nyuki kutokana na mfanano wake baada ya kupikwa. Ni mkate unaopikwa mfano wa skonzi… Read more »
Keki ya chocolate ni keki inayopendwa sana. Wengine wananunua au kuweka oda jambo ambalo kwamba ni la gharama kuliko kuoka mwenyewe nyumbani. Wengine wanawazawadi wendani wao keki walizonunua, jambo ambalo… Read more »
Pilau ni chakula maarufu sana katika sehemu nyingi ulimwenguni. Aidha ni chakula kinachopendwa na kuenziwa na wengi, si wakubwa si wadogo. Bila shaka pilau inapendwa kutokana na sifa zake sufufu…. Read more »
Naam, yapo mapishi mengine yanaweza yakawashtua wale ambao kwamba hawayajazoea au hawajahi yaskia. Bila shaka tambi za mapapayu ni miongoni mwa mapishi hayo. Hata hivyo, tambi za mapapayu ni chakula… Read more »
Tambi, maarufu kama spaghetti kinaaminika kuwa chakula chenye asili ya kiitaliano. Hapa nchini kenya,kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka nimegundua kuwa tambi ni chakula kinachopendwa sana na wasomali. Naam, Mapishi… Read more »