
SAYARI YA KISWAHILI (SAYAKI)
Ni kitamu Kiswahili, ndugu fahamuni Utamu kama asali, umejaa ndani Wengi wanakikubali, anopinga nani? Kiswahili kitukuzwe! Tukipende Kiswahili, na tukithamini Tuwapo kila mahali, tukizungumzeni Dharau tuweke mbali, kwenye lugha hini… Read more »