Category: Blog

SAYARI YA KISWAHILI (SAYAKI)

Ni kitamu Kiswahili, ndugu fahamuni Utamu kama asali, umejaa ndani Wengi wanakikubali, anopinga nani? Kiswahili kitukuzwe! Tukipende Kiswahili, na tukithamini Tuwapo kila mahali, tukizungumzeni Dharau tuweke mbali, kwenye lugha hini… Read more »

AFADHALI KUMENYESHA

Mno nilifurahia, kuliona paa langu Sana nilijivunia, haivuji nyumba yangu Paa lilotulia, kalijenga fundi wangu Sikujua kukinyesha, nitaona pavujapao Jua lilijiwakia, paa tatizo halina Mno lilinivutia, nikafurahia sana Kila ‘kiliangalia,… Read more »