
KUMBUKUMBU ZA UTOTONI
Maisha ya utotoni ni maisha matamu sana kwa wengi. Wengi utawasikia wakisema wanatamani warudi katika maisha hayo kwa sababu ni maisha yenye raha tele. Hakuna kuwaza kuhusu hili wala lile,… Read more »
Maisha ya utotoni ni maisha matamu sana kwa wengi. Wengi utawasikia wakisema wanatamani warudi katika maisha hayo kwa sababu ni maisha yenye raha tele. Hakuna kuwaza kuhusu hili wala lile,… Read more »
Leo hii ni ya kwanda Tuwe wenye kujipinda Tufanye ano yapenda Na kumridhi jalia Tumuombeni jalali Mchana pia laili Na kila tunaposwali Atujaalie afia Tufunge bila usiri Tena kwa nyingi… Read more »
Ninaandika nudhumu, nyie kuwaleteeni Naanza kutakalamu, masikio tegeeni Ninaanza kwa salamu, nawaomba pokeeni Msamaha ni muhimu, ndugu zangu fahamuni Tusameheane! Binafsi nawaombeni, munisamehe ndu yenu Kama ‘meziumizeni, za ndani hisia… Read more »
Mzinga wa nyuki ni mkate wenye asili ya kiarabu. Mkate huu umepewa jina la mzinga wa nyuki kutokana na mfanano wake baada ya kupikwa. Ni mkate unaopikwa mfano wa skonzi… Read more »
Amesema mtume rehma na amani zimshukie, “dunia ni starehe na bora ya starehe zake ni mke mwema.” Hapa mwanzo naanzia, kutunga yangu nudhuma Natoa wangu wasia, uwafikieni umma Hakika ametwambia,… Read more »