ASHIKI WA KISWAHILI

  • Dini
  • Lugha
  • Ushairi
  • Mapishi
  • Makala
  • Hadithi
ASHIKI WA KISWAHILI
Skip to content
  • Dini
  • Lugha
  • Ushairi
  • Mapishi
  • Makala
  • Hadithi

KUMBUKUMBU ZA UTOTONI

Maisha ya utotoni ni maisha matamu sana kwa wengi. Wengi utawasikia wakisema wanatamani warudi katika maisha hayo kwa sababu ni maisha yenye raha tele. Hakuna kuwaza kuhusu hili wala lile,… Read more »

Makala    #makala, #watoto, KUMBUKUMBU za utotoni, michezo, michezo ya watoto, utotoni

UTENZI WA RAMADHAN

Leo hii ni ya kwanda Tuwe wenye kujipinda Tufanye ano yapenda Na kumridhi jalia Tumuombeni jalali Mchana pia laili Na kila tunaposwali Atujaalie afia Tufunge bila usiri Tena kwa nyingi… Read more »

Dini    Ramadhan, ramadhani, shairi la Ramadhan, utenzi wa Ramadhan

TUSAMEHEANE

Ninaandika nudhumu, nyie kuwaleteeni Naanza kutakalamu, masikio tegeeni Ninaanza kwa salamu, nawaomba pokeeni Msamaha ni muhimu, ndugu zangu fahamuni Tusameheane! Binafsi nawaombeni, munisamehe ndu yenu Kama ‘meziumizeni, za ndani hisia… Read more »

Ushairi    #shairi, msamaha, shairi la msamaha, tusameheane

JINSI YA KUPIKA MZINGA WA NYUKI

Mzinga wa nyuki ni mkate wenye asili ya kiarabu. Mkate huu umepewa jina la mzinga wa nyuki kutokana na mfanano wake  baada ya kupikwa. Ni mkate unaopikwa mfano wa skonzi… Read more »

Mapishi    honeycomb bread, mapishi ya Kiswahili, mapishi ya pwani, Mzinga wa nyuki

MKE MWEMA

Amesema mtume rehma na amani zimshukie, “dunia ni starehe na bora ya starehe zake ni mke mwema.” Hapa mwanzo naanzia, kutunga yangu nudhuma Natoa wangu wasia, uwafikieni umma Hakika ametwambia,… Read more »

Ushairi    #shairi, mke, mke mwema, shairi la mke

Posts navigation

1 2 3 … 25 Next »

Ili kujinunulia pilipili hizi yenye utamu wa kipekee tupigie simu kwa ambari +254704432540

MTANDAO WA KIJAMII

MTANDAO WA KIJAMII
Copyright 2019
Footer text center
Ribosome by GalussoThemes.com
Powered by WordPress